Description
“Tusome Mboga” ni kitabu kinachowafundisha watoto aina tofauti za mboga wanazokula kila siku. Kinaelimisha kuhusu faida za kula mboga na jinsi zinavyosaidia afya njema. Michoro maridadi na maneno rahisi humvutia mtoto na kumtia hamu ya kujifunza zaidi kuhusu lishe bora.






