Availability: In Stock

Sudi na Shada Wamwokoa Luka

SKU: 9789966641991

KSh240

KES
  • KES
  • USD

1 in stock

Category: Vendor: Daniel Okamiu

Description

Sudi na Shada Wamwokoa Luka

Luka anakosa masomo ya gredi ya pili. Sudi na Shada wanaonesha ujasiri kwa kuhakikisha kuwa wamempata Luke na kumsoidia kurudi shuleni. Je, Luka alikuwa wapi? Ni mambo yepi yalikuwa yanamzuia Luke kusorna no wenzake?

Hadithi Mufti za Longhorn ni mfululizo mpya wa hadithi ambazo zimeandikwa kulingana na mtaala mpya. Hizi hadithi zinalenga kukuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa uvumbuzi wa maarifa na zinaimarisha uelewawao wa masuala ibuka katika jamii. Hadithi hizi sio tu za kuelimisha na kuburudisha, bali pia zimeambatanishwa na mazoezi ambayo yatawasaidia wanefunzi kuimarika kiubunifu, kimawazo na kifikra.

Additional information

Weight 52 g
Dimensions 21.1 × 14.7 × 0.3 cm

Vendor Information

Vendor: Daniel Okamiu